Natafuta Kazi

Natafuta Kazi

Sweet Mother

Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
19
Reaction score
1
Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema
 
Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema

NAOMBAKAZI.COM
 
Watu wanataka nafasi kama hiyo usiku mchana kama haikufai tafuta toroli la maji uwe unaleta kwangu asubuhi na jioni..
 
Habari za jioni ndugu zangu,
Naombeni msaada wenu japo nipate link ya ajira
Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni binafsi na ninafanya kazi kama mtakwimu (Researcher and data management)
Kifupi siridhiki na mahali nilipo ndo maana bado natoa macho,naombeni msaada wenu kwa mwenye link.
Niwatakie jioni njema

Tuma application yako: tanhompowersys@gmail.com
 
Wabbi Duniani ingekuwa ukipata kazi ndio mwisho huwezi kuama basi ningesema point yako iko poa.
ila unajua watu huwa wanahama na kutafuta kazi wanapofanya wanakuwa na roho nyeupe bila kujuta na kila mtu upenda kupata mshahara mzuri wa kufaa mahitaji yake.

endelea kutafuta kazi una elimu yako usifutike moyo kabisa na majibu kama haya
 
Watu wanataka nafasi kama hiyo usiku mchana kama haikufai tafuta toroli la maji uwe unaleta kwangu asubuhi na jioni..

Si lazima ku-comment kama umeshiba maharage na una chupa kadhaa za ulanzi kichwani.
 
ana angalia maslahi yakee vijanaa.mbona mnamuandama?
 
Watu wanataka nafasi kama hiyo usiku mchana kama haikufai tafuta toroli la maji uwe unaleta kwangu asubuhi na jioni..

i see jf kuna mtu sampuli mingi...........!
hii nayo sijui ni sampuli ipi mazee.............!
 
Back
Top Bottom