Natafuta kibali cha kusafirisha mnyama nchini

Natafuta kibali cha kusafirisha mnyama nchini

CES

Member
Joined
May 12, 2021
Posts
32
Reaction score
24
Habari MwanaJF,

Sasa nimesafirisha nje ya nchi. Niko Ulaya, nilipata hapa paka.

Ninataka kurudi nae Tanzania, lakini shirika la ndege liniambia lazima kuwa na kibali cha import (certificat of import) kutoka wizara ya mifugo ya Tanzania. Nilijaribu kuwapigia simi, hawapokei.

Sasa ninamtafuta mtu angeweza kunipatia kibali hiyo huko nchini kwa paka wangu anitumie kwa njia ya whatsapp.

Ninamlipa ada yake kama atanipatia kibali cha haki kwa ajili ya paka wangu.

Kama unaweza nitumie whatsapp yako
 
Habari MwanaJF,

Sasa nimesafirisha nje ya nchi. Niko Ulaya, nilipata hapa paka.

Ninataka kurudi nae Tanzania, lakini shirika la ndege liniambia lazima kuwa na kibali
cha import (certificat of import) kutoka wizara ya mifugo ya Tanzania. Nilijaribu kuwapigia simi, hawapokei.

Sasa ninamtafuta mtu angeweza kunipatia kibali hiyo huko nchini kwa paka wangu anitumie kwa njia ya whatsapp.

Ninamlipa ada yake
kama atanipatia kibali cha haki kwa ajili ya paka wangu.

Kama unaweza nitumie whatsapp yako
Nenda wizara ya mifugo ndio wana dili na kutoa vibali, sasa humu ni kama unataka kubali kutoka kwa mtu binafisi, angalia paka wako anaweza chomwa moto uwanja wa ndege ukishuhudia kwa macho.
 
barua@mifugo.go.tz; 0784 873514; www.mifugouvuvi.go.tz
Habari MwanaJF,

Sasa nimesafirisha nje ya nchi. Niko Ulaya, nilipata hapa paka.

Ninataka kurudi nae Tanzania, lakini shirika la ndege liniambia lazima kuwa na kibali
cha import (certificat of import) kutoka wizara ya mifugo ya Tanzania. Nilijaribu kuwapigia simi, hawapokei.

Sasa ninamtafuta mtu angeweza kunipatia kibali hiyo huko nchini kwa paka wangu anitumie kwa njia ya whatsapp.

Ninamlipa ada yake
kama atanipatia kibali cha haki kwa ajili ya paka wangu.

Kama unaweza nitumie whatsapp yako
 
Habari MwanaJF,

Sasa nimesafirisha nje ya nchi. Niko Ulaya, nilipata hapa paka.

Ninataka kurudi nae Tanzania, lakini shirika la ndege liniambia lazima kuwa na kibali cha import (certificat of import) kutoka wizara ya mifugo ya Tanzania. Nilijaribu kuwapigia simi, hawapokei.

Sasa ninamtafuta mtu angeweza kunipatia kibali hiyo huko nchini kwa paka wangu anitumie kwa njia ya whatsapp.

Ninamlipa ada yake kama atanipatia kibali cha haki kwa ajili ya paka wangu.

Kama unaweza nitumie whatsapp yako
Habari mkuu.

Kama bado hujapata msaada wasiliana nami kwa watsup 0766348089. Nitakusaidia kupata import permit.
 
Ana dharau kwa mpaka wetu huyo
Na dharau kwa bibi zake
Bibi zake hawajawahinpanda ndege yeye ndie apakize paka
 
Huyo paka ungemchukua video umtume kwa whatsapp siku hizi ni mambo ya teknolojia tu.
 
Ninataka kurudi nae Tanzania, lakini shirika la ndege liniambia lazima kuwa na kibali cha import (certificat of import) kutoka wizara ya mifugo ya Tanzania. Nilijaribu kuwapigia simi, hawapokei.
Hatuna muda wa kupokea simu za watu😁😁😁
Uk.jpg
 
Uzungu mwingi mwaisa unataka nyau wako aje kutalii bongo dadeki kweli bongo kwa moto uku paka ni mawe watu wanampandisha ndege.
 
Back
Top Bottom