Natafuta kiben ten

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji15]
 
Duh hii inaonyesha ni jinc gani vijana wanakata tamaa mapema na maisha binafc siwezi kua na mwanamke nisie mpenda kisa anapesa hua cjui kufanganya hasa kwenye mapenzi bora nikabebe zege ili kua huru tukitibuana kila mmoja ki vyake
 
[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mi nataman kujua una miaka mingapi Madam...
 

Naona Madam Vivian unatafuta Msaidizi wa ndani wa kiume na siyo kiben kumi kazi zote hzo afanye kiben kumi kweli..
 
Mzee baba hii cover letter imesimama [emoji2]
 
Cjwahi ndugu, Ila namuona sister fey anavyokula raha. Hawasumbui wala hawana tabu kila kitu kwake yeeees bby
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yes mke wangu [emoji23][emoji23]yule mtoto anaonja mpaka dawa gaiii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna ujumbe mwingine huwa unawasilishwa kwa njia ya utani utani kama hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…