Natafuta kijana jasiri, mpambanaji tutekeleze wazo la biashara ya kimachinga Dodoma!

Natafuta kijana jasiri, mpambanaji tutekeleze wazo la biashara ya kimachinga Dodoma!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Kichwa cha post chajieleza. Natafuta kijana wa aina hii tufanye biashara.

Mwanzoni nahitaji wawili tu, kinachotakiwa ni moyo wa upambanaji. Wazo hili nimekuwa nalo muda mrefu ila sina watendaji.

Note: Nimeweka wazi kabisa kuwa hiini kazi ya kimachinga!
 
Elezea maana ndio nipo kwenye basi ubongo naelekea huko likiwa wazo la kimkakati kweli naweza nisirudi DSM.
 
Umachinga ni kubeba bidhaa mkononi na kupeleka wateja walipo! Kijana mwenye nguvu,maono na determination....mtaji juu yangu!Biashara hizi kwa sasa zinafaa Sana.
 
biashara ya kuuza bidhaa gan...n bora ukaweka wazi hapa ili mtu ajijue kama anafit au lah...mfano unakuta labda bidhaa hzo ni nzto mtu lazma awe na nguvu kuziinua n.k au unakuta bidhaa kama perfume kuna watu wana allergy nazo they cant do it

be frank
 
Back
Top Bottom