Natafuta kijana mwenye uzoefu wa mauzo

Natafuta kijana mwenye uzoefu wa mauzo

chabusalu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
8,084
Reaction score
5,210
Natafuta kijana mwenye uzoefu wa mauzo au hana uzoefu lakini akionyeshwa fursa anaweza kuchakarika kuigeuza bidhaa kuwa fedha. anaweza kuwa na elimu ya kidato cha Nne, Sita, cheti au stashahada kwenye masoko. aliye tayari kujituma na kukabidhiwa biashara ili apambane.

Uaminifu unatakiwa kwa kiwango kikubwa sana kwa kuwa utajisimamia mwenyewe! anayehisi kwamba anaweza kubeba jukumu hili anifuate inbox tuyajenge, kabla ya kupeana fursa yenyewe!

Karibu.
 
Mkuu mimi hapa naweza nikafanya hiyo kazi
 
Back
Top Bottom