Natafuta kijana wa kutunza ng'ombe wangu wa maziwa. Beira Baby Boy atanifaa.

Vizuri sana aisee,endelea kuwa na huo moyo wa kusaidia vijana wa sio na kazi...safi sana
 
Hapo umepata mfanyakazi ila uwe makini na huyu ngosha kwenye ufugaji ni Mtaalamu tatizo kuna kauchawi karisi anaweza kukupoteza..
 
Hapo umepata mfanyakazi ila uwe makini na huyu ngosha kwenye ufugaji ni Mtaalamu tatizo kuna kauchawi karisi anaweza kukupoteza..
hahahaah eti eeh?
 
Kuwa makini na London baby boy maana kulingana na nyuzi zake humu anaonekana ni mlozi yeye na familia anayotoka. Asije akamchawia ng'ombe aanze kutoa kamasi badala ya maziwa.
 
Uwe makini tu Ndugu yangu na huyu kijana, anaweza baka ng'ombe zako ukapata wajukuu wengine
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…