Natafuta kijana wa kuuza chipsi

Natafuta kijana wa kuuza chipsi

banalunda

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2012
Posts
231
Reaction score
67
Habarini za majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nahitaji kijana muaminifu na mzoefu wa jiko la kuuza chipsi, mishkaki, samaki n.k, kwa hapa Dar es Salaam.

Aliye serious anicheki PM tafadhali.
 
Habarini za majukumu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

Nahitaji kijana muaminifu na mzoefu wa jiko la kuuza chipsi, mishkaki, samaki n.k, kwa hapa Dar es Salaam.

Aliye serious anicheki PM tafadhali.
Samahani naomba kujua Location maana Mimi Niko Kitunda Shule huku
 
Back
Top Bottom