Mi naitaka ya diesel, sky active Ile ni nyoko zaidi ya kumanina
Jamaa wako vizuri sana,mi nawakubari sanaHaka kandinga ni katamu asikwambie mtu Mazda alikaa chini akafikiria na akaja na haka kandinga but nadhani mwaka ujao katashuka kidogo hasa ka 2012 coz kuna nchi haziruhusu magari ya zaidi ya miaka kumi kuwa imported so sisi wanyonge tutaweza kuvununua maana bila CIF 6000 USD hujaiagiza na kikotozi cha TRA 11M
Usifananishe Hio Mazda na uchafu wa hio Nissan.Ila haka kagari ni kazuri. Na ni binamu yake na Nissan Dualis kabisa yaani maana wanafanana balaa. View attachment 2045913View attachment 2045912View attachment 2045914View attachment 2045917View attachment 2045918
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu tukikutana mjini nikakunyima lifti usinilaumu jua ni matusi yako ya rejareja ndio yamekuponza.Usifananishe Hio Mazda na uchafu wa hio Nissan.
😄😄😄 Samahani mkuu.Ndugu tukikutana mjini nikakunyima lifti usinilaumu jua ni matusi yako ya rejareja ndio yamekuponza.
Sasa Nissan imekuwaje tena uchafu. Umeniumiza sana hisia zangu ndugu[emoji30][emoji30][emoji30][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo 12 persons ni nini?Wakuu habarini
Naomba msaada mwenye kujua wapi wanauza vioo vya mazda cx 5 , gari ni ya mwaka 2013 , kwa bei ya kizalendo ...nataka kuweka kioo kpya natanguliza shukrani chasis number ya gari nime atach hapo chini my contact 0765652806 natanguliza sana shukrani View attachment 2045000
Kuwa serious kidogo...dualis dsraja moja na vitz na ist..?Cx 5 ipo daraja moja na Subaru forester 2012, Vw Tiguan, Hydundai Tucson 2013, Rav 4 2012 sio dualisi , dualisi daraja lake ni IST na vtz
Hahaha me mwenyewe nimeweka ilo daraja na sipo serious ila kiukweli huwezi kukalinganisha na CX5 sio kwa performance au stability.Kuwa serious kidogo...dualis dsraja moja na vitz na ist..?
Hebu weka data za waliotengeneza hayo magari tuone wenyeww wameyawwka katika madaraja gani
... hizi gari zinaingiliana spea kwa kiasi kikubwa na Ford-Japan (Escape, etc.). Actually, Ford-Japan is made by Mazda under license from US. Hii inaweza kusaidia kupata baadhi ya spea.Wakuu habarini
Naomba msaada mwenye kujua wapi wanauza vioo vya mazda cx 5 , gari ni ya mwaka 2013 , kwa bei ya kizalendo ...nataka kuweka kioo kpya natanguliza shukrani chasis number ya gari nime atach hapo chini my contact 0765652806 natanguliza sana shukrani View attachment 2045000
Ulichokisema ni sahihi kabisa kwa hilo sina ubishi hata kidogo... hizi gari zinaingiliana spea kwa kiasi kikubwa na Ford-Japan (Escape, etc.). Actually, Ford-Japan is made by Mazda under license from US. Hii inaweza kusaidia kupata baadhi ya spea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamnaga bei yakizalendo kwenye gari ambazo hazifikia hata 10 kwa daslam nzima
Bongo nyosoMkuu mm nipo mbioni kununua hiyo gari hasa ya petrol ila nakua discourage kua spare bongo ni ishu. Vip tofauti na kioo hakuna changamoto nyingine?
Nilipata kariakoo kwa mwarabu mmoja aonavyo a nauza laki 4Hapa maji utaita mmma. Agiza hicho kioo EBAY au befoward kwenye spea kaka, vinginevyo utapaki hiyo gari. Unique cars zina mambo ya kisenge sana ikitokea unahitaji spea yake. Hizo gari mjini hapa ni chache mno
Mkuu vp spare maana ni gari nzuri ila sijajua changamoto ya spare partsNilipata kariakoo kwa mwarabu mmoja aonavyo a nauza laki 4
Nimesoma Review nyingi kuhusu Mazda Cx5 na moja ya matatizo ya hizi gari ni Kwamba kioo cha mbele ni rahisi sana ku Crack. Kwa uzi huu pamoja na CX5 nyingine mbili nimeziona zote zina Kioo cha brand ya XYG maana yake Wind Screen ilishabadilishwa. Na kuna CX5 moja nimeiona Juzi Maeneo ya Coco Beach nayo Kioo cha Mbele kina Crack upande wa Kushoto wote ila jamaa bado Hajakibadilisha.Wakuu habarini,
Naomba msaada mwenye kujua wapi wanauza vioo vya mazda cx 5, gari ni ya mwaka 2013 , kwa bei ya kizalendo ...nataka kuweka kioo kpya natanguliza shukrani chasis number ya gari nime atach hapo chini my contact 0765652806 natanguliza sana shukrani.
View attachment 2045000
Gari hii lazima upewe heshima kaka. Vimba tu, kioo utapata tuWakuu habarini,
Naomba msaada mwenye kujua wapi wanauza vioo vya mazda cx 5, gari ni ya mwaka 2013 , kwa bei ya kizalendo ...nataka kuweka kioo kpya natanguliza shukrani chasis number ya gari nime atach hapo chini my contact 0765652806 natanguliza sana shukrani.
View attachment 2045000