Natafuta kiwanja Arusha

Ndombwindo

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2013
Posts
1,387
Reaction score
2,085
Nijikite kwenye mada moja kwa moja, natafuta kiwanja cha kujenga nyumba, maeneo ya Arusha isipokuwa nje ya mji kidogo, eneo la wastani tu kama 20x25… bajeti ni milioni tatu 3,000,000/-.

Kiwanja kisiwe mbali sana kutoka barabarani, Nyakati hizi za mvua ndio pendekezwa kujionea hali ya kiwanja husika pia, natamani kama kuna uwezekano wa kuchimba maji pia, lengo ni kuwa na uhakika wa maji kipindi chote.

Asante kwa ushirikiano.
 
Kikatiti,Kisongo au Maji ya Chai utapata.
 
Wacheck jamaa wanajiita Kambele Investment, wako mtandaoni, wana projects nyingi za viwanja kwa Arusha. Na kwa bei hizo utapata. Kwenda kuvitizama wanakupeleka free na wana option ya kulipa kwa installments. Wana ofisi maji ya chai na town hapo mianzini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…