Aeronautical
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 217
- 396
Hakuna kitu mkuu ni kupambana na kutafuta kiwanja.dah watu mna hela aisee DALALI MKUU ukipata kazi hapa usinisahau ata ya vocha
Nina milion 10 nahitaji 20x20 napataNjoo mbopo
Nina shamba heka 2
Hapana mkuuNina milion 10 nahitaji 20x20 napata
tatizo hawapo serious mkuudah watu mna hela aisee DALALI MKUU ukipata kazi hapa usinisahau ata ya vocha
watu wako serious mkuutatizo hawapo serious mkuu
ngoja tuone kama iko fresh tukale mbuzi sinzawatu wako serious mkuu
kipo hapa njia nne mkuu ila sq 600 m 25Habari za mchana ndugu zangu,
Natafuta kiwanja kisichokua na mgogoro na kilichopimwa maeneo ya Madale Mivumoni au karibu na apo, kiwanja kiwe na ukubwa wa 800sqm na budget isizidi 30M.
Ahsante.
kabsa mkuungoja tuone kama iko fresh tukale mbuzi sinza
Hicho kidogo mkuu atleast kingefika 750kipo hapa njia nne mkuu ila sq 600 m 25
Watu tuko serious ila shida madalali wanaleta tamaa sana anaongeza hela ata 10Mwatu wako serious mkuu
Nashukuru mkuu, uko kwangu ni mbali sana na napopatakaNjoo mbopo
Nina shamba heka 2
Ndo umdhulumu nafsi kama kwa Thadei?Hapana mkuu
Labda Mapwepande Mwendokasi Nina plot pale ya 25*30 naiachia kwa 12m
Njoo nikuuzie shamba mkuu uache kulala kwa shemj yakoNdo umdhulumu nafsi kama kwa Thadei?
Sawa kakaNashukuru mkuu, uko kwangu ni mbali sana na napopataka
Mangi Unadhani damu ya Thadei itakuacha salama?Njoo nikuuzie shamba mkuu uache kulala kwa shemj yako
Siku dada akitimuliwa utanikumbuka
Hizo stori za vijiweni tu ndgMangi Unadhani damu ya Thadei itakuacha salama?