Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

Hiyo bajeti yako ukiitumia vizur unaweza nunua viwanja vitatu vikubwa sehemu mbali mbali hapa DSM na ikabaki hela ya kufuatilia hati miliki kutoka wizarani

Note:
1)Hakikisha viwanja unavyonunua ni surveyed plots
2) usinunue kiwanja chini ya 800sq
3) Nunua kwa makampuni ya real estate na Hakikisha wao ndo watafuatilia hati miliki ya wizara itakua rahisi kwako
4) Siku ingine ukiwa unataka kiwanja usitangulize offer yako coz ni rahisi sana kuuziwa eneo lisilo endana na thamani ya pesa utakayoitoa, Jenga utamaduni wa kufanya research kabla hujafanya maamuzi
Acha kumdanganya mwenzio, 14m ndio ununue viwanja vitatu vya square meter 800???? Lamda sio Dar. Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa kwa square meter. Hiyo pesa ni ndogo sana.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Nahitaji kiwanja GOBA mwenye kiwanja cha ukubwa 800sqm-1000sqm anicheki tufanye biashara

Ahsante
 
Ukijibiwa ni tag mkuu
B361F0A2-1578-4827-BB47-8B065053962F.jpeg

hicho hapo mil 14
 
NAHITAJI KIWANJA KARIBU NA MUHIMBILI
KAMA YUPO ANACHO kianzie ukubwa wa 30*20 na kuendelea
 
JIPATIE VIWANJA VILIVYOPIMWA CHANIKA KWA MBIKI
Viwanja vimepimwa kuanzia SQM 400 (20x20)

Bei yake cash ni 4,500,000/=.
Bei ya mkopo ni 5,000,000/=

Mkopo mtaja ataanza na 20% kias kinachobaki kitalipwa ndani ya miez 5 tu sawa na Tsh 1,000,000/=

JE UNGEPENDA KUTEMBELEA MRADI HUU BASI TUWASILIANE KWA WHATSAPP 👉
https//wa.me/+255764227346
 
Wakuu habari za majukumu,

Wakuu nauliza kwa Dar naweza pata wapi kiwanja kizuri walau sqm 600 kwa hapa Dar es Salaam kwa bajeti ya 9m mpaka 15?
Njoo kigamboni somangila Mbutu kichangani kiwanja na nyumba yake 20*21 about 800sqm 11M umeme Maji uhakika 0759448927
 
Back
Top Bottom