Parrot_2024
Member
- Dec 16, 2017
- 63
- 28
Leta no yako nikuunganishe mwahako vipo viwanjaHabari zenu,
Nahitaji kiwanja kwa Tsh 1.5 - 2m mkoa ya Tanga kwenye mitaa kama Duga, Mwahako, Tangasisi, Mwang'ombe, Mikanjuni, Mwanzange, Kasera, Msambweni, Magaoni, Mwambani, Mwakidila, Donge, Kange, Pongwe etc. Kwa yoyote alokuwa nayo naomba unmbie.
Asanteni
Sawa nimekutumia dmLeta no yako nikuunganishe mwahako vipo viwanja
Kipo lkn kichangani je upo tayari???Habari zenu,
Nahitaji kiwanja kwa Tsh 1.5 - 2m mkoa ya Tanga kwenye mitaa kama Duga, Mwahako, Tangasisi, Mwang'ombe, Mikanjuni, Mwanzange, Kasera, Msambweni, Magaoni, Mwambani, Mwakidila, Donge, Kange, Pongwe etc.
Kwa yeyote alokuwa nayo naomba uniambie.
Asanteni.
Nauza kiwanja Lushoto, 30*30m, kiko kwenye view, kama uko interested contact ni 0757011187Mimi nataka kiwanja lushoto hata sijui naanzia wapi?!
Nakuja pmNauza kiwanja Lushoto, 30*30m, kiko kwenye view, kama uko interested contact ni 0757011187