Jani korofibangi ya Arumeru. Kwa mantiki hiyo ya mmea wa Arumeru
Hivi JF ni chombo cha habari na sisi ni waandishi wa habari! Ndiyo sababu Tanzania ina waandishi wa hovyo sana.Unapokosa kujuwa kuwa mojawapo ya kazi za vyombo vya habari ni kuburudisha ndipo posts zako zisizokidhi weledi wa uandishi zinapokataliwa na kutupwa kama vile msingi wa kuandikwa kwake ni bangi ya Arumeru. Kwa mantiki hiyo ya mmea wa Arumeru unaokutengenezea kukataliwa unaweza kufanya hadhira ijizuie kukucheka pale utapoamini kuwa Katuni pia sizo habari bali ni utumbo na kwamba hazistahili kuchwapwa.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Njiwa hata mimi ningezipiga chap maana mwanangu anawafuga, akiwapa ulezi tu balaa inabidi tuwafiche watoto na wakwe pia. Shomoro ndiyo usiseme, kutwa mara 3, wamejaza viota kwenye paa.Najuwa Dubai picha za ngono zina bei sana ila sikujuwa hata picha za ndege wanaojamiana pia zina soko huko. Swali la uzushi, picha ya ndege wengine wanaojamiana huko ni shillingi ngapi, nataka nikutumie picha za njiwa wangu wakijamiana.
ππππUkilipwa nistue.
Nataka nimtumie siafu mwenye mguu wa mtoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanashambulia kama drones za US zinavyonyanyasa ISIS.hao mashetanii leoo wamenishambuliaaaa mafalaa sanaaa kisa niliharibu kiota chao
Kama hujui basi kuanzia leo ujuwe kuwa JF imepanda hadhi kuwa Mainstream Media toka Social Media. Wenye taaluma zetu tunajuwa tukifanyacho.Hivi JF ni chombo cha habari na sisi ni waandishi wa habari! Ndiyo sababu Tanzania ina waandishi wa hovyo sana.
Kuna Mganga alinambia nimtafutie MFUPA WA WATU WAWILI waliogombana afu Mmoja akafakutokana na Ugomvi huo! NilichokaMnakokwenda hayo masharti ya Waganga yatawaua...
Fikra zenu mlio wengi ni 1-D (One Dimension). Hii ni mapungufu katika uumbaji wenu.Kuna Mganga alinambia nimtafutie MFUPA WA WATU WAWILI waliogombana afu Mmoja akafakutokana na Ugomvi huo! Nilichoka
Walianzia Znz huweziamini miaka 7 nyuma waliishafika Dumila, leo naambiwa wamefuata Makao Makuu Dodoma tayari.hao mashetanii leoo wamenishambuliaaaa mafalaa sanaaa kisa niliharibu kiota chao