Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wadau. Niko dar mpaka tarehe 26. Kama kuna mtu anayeuza hao viumbe hapo juu kwa ajili ya kufuga naomba anicheki.
bluetooth 1.eti bata mzinga kuanzia mtoto hadi mkubwa (yani ready for kuliwa) anachukua muda gani?kama ukimpa matunzo stahiki
2. Naskia malezi ya bata mzinga ni ya changamoto kuzidi kuku wa kisasa, je kuna ukweli?
Thanks