Natafuta laptop kwa ajili ya matumiz ya chuo

Natafuta laptop kwa ajili ya matumiz ya chuo

So hii nlibaki nayo nikasingizia imeibiwa
Kwa usalama wako rudisha PC ofisini,tunaweza kuitrace kokote utakapoiuza na kuishutdown.
Wizi nao kipaji eeh
Bado huridhiki ofisi inakupa kila kitu hadi mkeo anatibiwa na ofisi.
Again rudisha PC mara moja mkabidhi HR,na uandike barua ya kuomba msamaha!!
 
Kwa usalama wako rudisha PC ofisini,tunaweza kuitrace kokote utakapoiuza na kuishutdown.
Wizi nao kipaji eeh
Bado huridhiki ofisi inakupa kila kitu hadi mkeo anatibiwa na ofisi.
Again rudisha PC mara moja mkabidhi HR,na uandike barua ya kuomba msamaha!!
[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Ntainunua Mimi uishut down[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninazo nyingi nauza 280000
IMG_20180809_180721.jpg
 
Nikupe hp core i3 2.4 ghtz processor, Ram 4gb, hdd 320 tatizo battery tu 250k nauza
 
Hp 4420s
IMG-20180807-WA0003.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20180810_091859.JPG
    IMG_20180810_091859.JPG
    134.2 KB · Views: 24
Back
Top Bottom