crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
Hamna mkuu brand yoyote kati ya hizoNa, maana yake aina zote hizo unazitaka? Au?
yako bei gani mkuu lete ofaUkipata kwa bei iyo nakupa na yangu bure
Habari Mkuu?Habari wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa na familia zenu kwa pamoja iitikieni salamu[emoji16]
Nahitaji laptop(acer,hp,lenovo na asus) used na iwe kwenye condition nzuri iwe na sifa zifuatazo
1. Iwe na Intel I series(i5 kuendelea) na gen ya 4 kwende juu
2. ram gb4/8
3. HDD/SSD(500/258)
4. ikiwa slim kiasi itapendeza pamoja na graphics card nzuri.
Bajeti 500k
Nawasilisha.
NAPATIKANA KAWE DAR ES SALAAM
lete deal mkuu tumalize kaziHabari Mkuu?
Ulipata laptop?
Kma bado nicheki 0755411455
Sifa za laptop unayotaka mimi ninayo na siitumii kwa ss coz nina nyingine mpyaaaaaaalete deal mkuu tumalize kazi
Karibu PM mkuu pamoja na picha na condition ya iyo mashine mkuu tufanye jambo chapuSifa za laptop unayotaka mimi ninayo na siitumii kwa ss coz nina nyingine mpyaaaaaaa
pamoja mkuu