🙆Hello wanajamvi,
Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.
Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.
Please PM me if interested.
Nafikiri tuanzie hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamefika mbali panatosha eti? Tupokee wengine kijiti7 years with 2 kids mbona mmefika mbali tu kaka.
Nikutakie mafanikio katika utafutaji wako. Mungu awe upande wako kaka
You're the man.Usiangalie nyuma utageuka kuwa mnara wa chumvi.Bravo!Asante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.
Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.
Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.
Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.
Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Uwezo wa mtu mweusi kupambana na changamoto ni mdogo sana ndo maana maisha yetu kama yalivyoAsante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.
Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.
Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.
Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.
Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Asa jeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamefika mbali panatosha eti? Tupokee wengine kijiti
Uwezo wa mtu mweusi kupambana na changamoto ni mdogo sana ndo maana maisha yetu kama yalivyo
Hata huyo mwanamke mwingine akidai talaka siutamziria na kumwacha swali utaacha wangapi ni hatari sana kwa mwanaume kuwa na tabia za kuzira hasa unapokutana na changamoto
Mtu mweusi anapokutana na changamoto akili ya kwanza ni kutafuta short-cut au kuizira na sio kuiface
Ndoa na mahusiano ni kwa strong men wewe endelea kununua malaya, sikushauri uingie kwenye mahusiano Itakupokuja changamoto mfano wa hio ya mara ya kwanza utaingia tena mitini
Ukipata bibi mpya kumbuka kufanya pre nuptials agreement.Itakusaidia kuondoa usumbufu incase mkishindwana tena.Pole saanaAsante, to be honest nilikosea i cheated while tuko in long distance in 4 years alikua mkoani. Aliporudi Dar aligundua tukaanza kugombana, Kaenda mahakamani akidai talaka.
Niseme kweli alipofika hiyo stage ya mahakamani sikutaka tena kurudiana nae cz ni hatua ngumu kwangu na siko tayari kumpokea tena.
Kama kijana wa kiume i had to report it to her parents wakakataa hatua tuliyofikia na kutushauri turudi kwa ndoa akakubali ila binafsi moyo wangu ulishaingia ganzi.
Mimi ni kijana natafuta kwaajili ya kizazi changu yeye anapambana kwenda mahakamani kugawana nyumba nikimrudisha atakuja kunisumbua wakati nimechuma vingi tugawane tena. Wakati nimepanga kuwekeza kwa ajili ya wanangu huko mbeleni ni kugumu sitaki wategemee ajira kama mimi.
Nina vitu nafanya but siko huru navyo nina miradi but naandikisha jina la dada yangu Tin natumia ya sister kuepuka usumbufu
Dah....uliingia kifungoni ukiwa na 25yrs? ... shenzi zako 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hello wanajamvi,
Mimi ni kijana Mwenye miaka 34. Nina watoto wa 2. Nimezaa na mke mmoja. Tulifunga ndoa ya kanisani ila hatukufanikiwa kufika mbali after 7 years tumevunja ndoa mahakamani. Sasa niko huru natafuta mwenza mwingine.
Ni muajiliwa Kampuni Binafsi.
Niko Dar es salaam.
Please PM me if interested.
Nafikiri tuanzie hapo.
Dah....uliingia kifungoni ukiwa na 25yrs? ... shenzi zako [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Dah...hii inaweza kuwa sababu ya kuachana 🤣 🤣 🤣 🤣Early is better mzee mazingira yaliruhusu ningeingia na 30+ now ningerudi nyuma sanaa. kama bado hujapata mtu anza mapema sikutaka kulea waangu na pension kaka.