Natafuta 'Life Patner'

Natafuta 'Life Patner'

Primm

Member
Joined
Jul 22, 2011
Posts
28
Reaction score
4
Jamani wadau, wanaJF, upweke unanikondesha. Natafuta mtu ambaye yuko erious na maisha (man), anayetamani kampany ya ukweli kama ninatamani mimi, kwa pamoja tushirikiane katika sehemu ya maisha iliyobaki. Very serious!
 
Umri, na vigezo vingine tukupe shavu,wapo humu wengi tu
 
weka cv ya kutosha
mfano:
umri
elimu
dini
urefu
umbile(mnene au mwembamba)
kabila
rangi(mweupe au mweusi)



hatutaki majaribio maana hata wewe unatakiwa uweke vigezo vya unayemtaka
 
Mwenye upendo na kuthamini, mcheshi, elimu ya kawaidaa, awe na income ya kussurpot maisha (not tajiri), sichagui kabila wala rangi. Mimi ni Mkristu.
 
Mwenye upendo na kuthamini, mcheshi, elimu ya kawaidaa, awe na income ya kussurpot maisha (not tajiri), sichagui kabila wala rangi. Mimi ni Mkristu.

Hadi hapo nimeshamkosa mchumba,lol!
 
Ooooh Asante Msani. Hapa kuna vitu sijabainisha.

Umri - between 35 and 40
Elimu - wastani (some colleges after secondary school)
Dini - Mkristo
Umbo - wastani
Kabila - lolote
Rangi - yoyote
urefu - cm 170+
kipato - wastani
 
Mwenye upendo na kuthamini, mcheshi, elimu ya kawaidaa, awe na income ya kussurpot maisha (not tajiri), sichagui kabila wala rangi. Mimi ni Mkristu.

nadhani unatakiwa kumpata anayejiheshimu na kueshimu , mnayeweza kusikilizana na kuelewana ,

upendo hakuna kipimo kamili
 
Back
Top Bottom