LethalVerda
Member
- Mar 27, 2018
- 22
- 21
Mimi sijasoma hayo makitu lakininaweza kukuunganisha na mtu ukawa tajiri ndani ya miezi sits. Kama uko tayari nijulishe Ila utanipatia mapato yako 20% kwa mwaka mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ukifikisha miaka thelathini utanikumbuka, kwasasa bado unahisia za kishule shule, hujui life reality. Ukitaka kujua hilo jione tu unavyohisi we in msomi kumbe wasomi wako mtaani wanamaisha yao.Nashukuru....ila nilikua ninahitaji watu ambao tutakaa meza moja tukaweka mawazo yetu pamoja na tukatengeneza kitu....sina haraka ya kua tajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwasiliane for serious business issues... Karin pwani ya MsataMimi ni msichana, nina umri wa miaka 22, nimemaliza chuo mwaka huu. Chuoni nilikua nasomea mambo ya IT (Information Technology). Kwa sasa nipo Dar es Salaam.
Napenda ujasiriamali kwa mfumo wa technology........
Natamani sana nikutane na watu wenye background tofauti ili pamoja tufanye kazi tufike malengo fulani......
Kwa mtu yeyote atakae vutiwa na huu uzi.....naomba comment hapo chini......
“Pamoja tutaenda mbali, peke yako utaenda haraka”
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tu tuyajenge
Namimi nije?Tuwasiliane for serious business issues... Karin pwani ya Msata
Jr[emoji769]
Best tena utakosaje?
Pouwa Nakusubiri karibu