Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pride utaratibu/masharti yako vipi na riba ni kiasi gani?
Naam mkuu, ila si kutoka kwa mtu binafsi.Na wewe unataka mkopo nafuu mkuu.?
Nitake radhi dadangu kwa nipachika utaifa usionihusuhuyu jamaa utafikiri MNIGERIA. kila kitu, niPM for more infomation. yaani hawa wanigeria sijui wameingiaje JF.
Naam mkuu, ila si kutoka kwa mtu binafsi.
exactly!wasi wasi ndio akili yenyewe. [daladala]
Kibada kaka sm 980 karibu na barabara kabisa pls niPM for more
Wakuu,
Nina shida na kama 5m nahitaji loan ASAP will pay back in two installments in two months najua kuna wanaotoa huduma hii (sio bank) kama unamfahamu mtu wa kunisaidia please PM me
Hahaha si unajua ukapa na sirikali ya msanii JK???Naona umeweka avatar ya MDADA kukamata attention, kweli mkopo noma..lol
EL Toro; umefanikiwa nini? naona umebadili hata avatar yako sasa, umeondoa ili yenye mvuto.[/Q
Umenena mkuu aisee huu ukata wa Jk umetufanya WaTanzania tuwe watu wa ajabu sana mtu anataka ulipe mkopo kwa riba ya 20% in a month that is radiculousEl Toro, achana na mikopo ya riba. kama una gari na una kiwanja na kweli una shida, nione mie ntakusaidia bila riba. Leo Kwako Kesho kwangu. Sikujui hunijui lakini naamini kuwa kusaidiana kwenye shida ni uungwana na hizi fedha tulizonazo kama hatusaidiani faida yake nini? ni pm kama bado hujatatuwa matatizo.
Wakuu,
Nina shida na kama 5m nahitaji loan ASAP will pay back in two installments in two months najua kuna wanaotoa huduma hii (sio bank) kama unamfahamu mtu wa kunisaidia please PM me
Asante kwa ushauri mkuu ila at this point I still need this help na nimetumia wadau PM nasubiri their responceIt is as if huko sure kama kiasi unachoitaji kama kina tosheleza hiyo shuguli yako. Chunga sana usije poteza mali yako kwa kopa bila kuzingatia your financial plan. if your practical option is to borrow for consumption, this inevitably puts your financial health on a drip. Ila kwa kushauri kama uko na mshahara kwanini usitumie hiyo fursa, nenda benki watakupa kiasi unachoitaji. Kama unavyo sema that unaweza kulipa ndani ya miezi miwili this means you have enough resources. The better option is to go to the bank. Kama unakopa kwa riba from mtu binafsi kusiwe na riba. Otherwise you will end up crying with one eye. Think twice please.