Natafuta location nzuri ya kuweka stationery hapa Dar es Salaam. Naomba ushauri wako

Natafuta location nzuri ya kuweka stationery hapa Dar es Salaam. Naomba ushauri wako

mimi mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2019
Posts
248
Reaction score
539
Wakuu naomba ushauri ni sehemu gani hapa Dar es Salaam naweza kuweka stationery ya kawaida tu sio kubwa na nikapata mzunguko mzuri wa pesa.

Ukinishauri nitaenda kutembelea eneo na kupima kutazama najua wataalam wa fursa mpo unaweza ukawa umeona sehemu inayofaa nitashukuru ukinipa ushauri.

Kuna pesa naifukuzia nikiipata naanzisha stationery naombeni msaada wenu wa ushauri.
 
Wakuu naomba ushauri ni sehemu gani hapa Dar es Salaam naweza kuweka stationery ya kawaida tu sio kubwa na nikapata mzunguko mzuri wa pesa.

Ukinishauri nitaenda kutembelea eneo na kupima kutazama najua wataalam wa fursa mpo unaweza ukawa umeona sehemu inayofaa nitashukuru ukinipa ushauri.

Kuna pesa naifukuzia nikiipata naanzisha stationery naombeni msaada wenu wa ushauri.
Jaribu kigamboni karibu na Chuo cha Mwalimu Nyerere. Ukiuliza hapo hautokosa mkuu .
 
Wakuu naomba ushauri ni sehemu gani hapa Dar es Salaam naweza kuweka stationery ya kawaida tu sio kubwa na nikapata mzunguko mzuri wa pesa.

Ukinishauri nitaenda kutembelea eneo na kupima kutazama najua wataalam wa fursa mpo unaweza ukawa umeona sehemu inayofaa nitashukuru ukinipa ushauri.

Kuna pesa naifukuzia nikiipata naanzisha stationery naombeni msaada wenu wa ushauri.
Ni dm
 
Ingekuwa ni miaka ya nyuma ningekushauri maeneo ya posta ndio zilijaa ofisi.
 
Anza na mitaa ya karibu na unapoishi au kufanya kazi, ukaribu utakusaidia kuwahi mapema kufungua na pia kisimamia vema.

Swali lako halifanyi kazi, mfano unaishi mbezi nikakuambia mbagala kuna frem eneo la shule utakuja???
Ok nimekuelewa mimi naishi Kwa Msuguli ni karibu na Magufuli stand mbezi ya kimara.
 
Tembelea hayo maeneo angalia kama kuna stationery pima na uhitaji wake pia kama zinahitajika....
Yani Kimara kumepoa sana kupata sehemu utapiga copy 100 kwa siku ni kitu haiwezekani na mimi nilitarget sehemu naweza pata mpaka copy 500 siku nzuri ya biashara. Nashukuru kwa angalizo nitazingatia kuendelea kufanya research.
 
Yani Kimara kumepoa sana kupata sehemu utapiga copy 100 kwa siku ni kitu haiwezekani na mimi nilitarget sehemu naweza pata mpaka copy 500 siku nzuri ya biashara. Nashukuru kwa angalizo nitazingatia kuendelea kufanya research.
Angalia eneo ambalo lina shule shule hivi....
 
Back
Top Bottom