Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,869
- 787
Wadau,
Nimeambiwa kuwa mafuta ya mkia wa kondoo ikichanganywa na asali ni dawa nzuri ya kifua na mafua hasa kwa watoto wachanga.Ninatafuta sana mafuta ya mkia wa kondoo naombeni mwongozo wadau!!! (kachanga changu kameshatumia sana madawa ya hospitali lakini tatizo linajirudia jirudia )
PS.Kama kuna dawa nyingine ya kiasili hasa kwa watoto wachanga pia maoni yanakaribishwa.
Ahsanteni
Nimeambiwa kuwa mafuta ya mkia wa kondoo ikichanganywa na asali ni dawa nzuri ya kifua na mafua hasa kwa watoto wachanga.Ninatafuta sana mafuta ya mkia wa kondoo naombeni mwongozo wadau!!! (kachanga changu kameshatumia sana madawa ya hospitali lakini tatizo linajirudia jirudia )
PS.Kama kuna dawa nyingine ya kiasili hasa kwa watoto wachanga pia maoni yanakaribishwa.
Ahsanteni
