BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Yoyote anichek upande huu wa kanda ya ziwa nitampa deteils.
Majembe moko ponchi
Majembe moko ponchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoyote anichek upande huu wa kanda ya ziwa nitampa deteils.
Majembe moko ponchi
Jembe halina ile shingo ya kuwekea mpini kesho ntakupa picha nipo chimbo.Picha ya mfano?
Jembe halina ile shingo ya kuwekea mpini kesho ntakupa picha nipo chimbo.
Mengi kuanzia 100 kuendelea..Unayataka kiasi gani niweke wadau sahizi.. ila ni ngumu pia sababu ya wake wanao kusanya mavyuma mtaani
Ngoja niweke mkuu shida hapa sina jembe lililokatika hata moja!Kesho ndio leo, lete hiyo picha
Bonyeza #Mods kuna shida gani kila nikiweka picha inagoma!
YAah asante sasa likatike hako ka kuweka mpini.
Yanatumika kwa kazi gani ningependa kufahamu kama hutojaliYAah asante sasa likatike hako ka kuweka mpini.
Kwanini usinunue mapya wewe uyapeleke kwa fundi akukatie vichwa ? Au kwenu hakuna mafundi ? Sasa si uajiri tu fundiNitanunua yote 100 mapya kabisa, wew peleka kwa fundi wakukatie vichwa.
Mi unipe changu, mambo yasiwe mengi maisha ndio haya haya
Dah mwamba ni yale majembe yaliyotumika yakakatika au kuchanika pale mbele.Nitanunua yote 100 mapya kabisa, wew peleka kwa fundi wakukatie vichwa.
Mi unipe changu, mambo yasiwe mengi maisha ndio haya haya
Dah mwamba ni yale majembe yaliyotumika yakakatika au kuchanika pale mbele.
Sio majembe mapya!
Sio majembe mapya ni yale makuu kuu mkuu!Kwanini usinunue mapya wewe uyapeleke kwa fundi akukatie vichwa ? Au kwenu hakuna mafundi ? Sasa si uajiri tu fundi
Kwa kilimo tu na mambo mengine..nikusanyie Majembe yaliyotumika yakifika 100 nichek!Yanatumika kwa kazi gani ningependa kufahamu kama hutojali
Najua muuza majembe niambie dau nimwambie kama inalipa nina uhakika badala ya kuendelea kutengeneza na kuongoza stock atakachofanya ni kuchukua mzigo wake na kwenda kulima mawe... within a week atakuwa amemaliza (Je unanunua bei kubwa zaidi ya jembe jipya)?Sif majembe mapya ni yale makuu kuu mkuu!
kama unayo kuanzia 100 kuendelea.
Nanunua majembe yaliyotumika tu yenye kasoro yoyote ila liwe kubwa kiana.Najua muuza majembe niambie dau nimwambie kama inalipa nina uhakika badala ya kuendelea kutengeneza na kuongoza stock atakachofanya ni kuchukua mzigo wake na kwenda kulima mawe... within a week atakuwa amemaliza (Je unanunua bei kubwa zaidi ya jembe jipya)?