Natafuta majembe yaliyokatika shingo kanda ya ziwa

Natafuta majembe yaliyokatika shingo kanda ya ziwa

Nanunua majembe yaliyotumika tu yenye kasoro yoyote ila liwe kubwa kiana.
bei kg ya chuma.
Okay kwahio ni kama vyuma chakavu.., basi kuna huyu mdau nadhani amekuharibia uzi muombe afute.... au humu kuna wanunuzi wawili ?

the glassroof said:
Nitanunua yote 100 mapya kabisa, wew peleka kwa fundi wakukatie vichwa.
Mi unipe changu, mambo yasiwe mengi maisha ndio haya haya
 
Okay kwahio ni kama vyuma chakavu.., basi kuna huyu mdau nadhani amekuharibia uzi muombe afute.... au humu kuna wanunuzi wawili ?

the glassroof said:
Nitanunua yote 100 mapya kabisa, wew peleka kwa fundi wakukatie vichwa.
Mi unipe changu, mambo yasiwe mengi maisha ndio haya haya
Naheshimu mawazo yake.he or she was right!
 
Kwa nini yawe yaliyo tumika na yaliyo katika? Una yatumia kwenye shughuli gani majembe ambayo hayana kazi tena?
Natafuta majembe used hata yaliyokatika shingo ya kuwekea mpini...kuanzia 100 na kuendekea.
UMEELEWA?
 
Kwa nini yawe yaliyo tumika na yaliyo katika? Una yatumia kwenye shughuli gani majembe ambayo hayana kazi tena?
Tafuta majembe kama unayo nichek kama huna pita mbali.
 
Nahitaji MAJEMBE USED,PONCHI NA MOKO KANDA YA ZIWA KUANZIA 100 NANUNUA KWA KG.

Nickek kama unayo!
 
Yaani mpaka leo hii hakuna mdau hata mmoja au mods hamisheni huu uzi kwenye jukwaa la biashara na matangazo.
 
Mods nihamishie uzi wangu jukwaa matangazo na biashara.

Haiwezekani mpaka leo hii sijapata hata jembe moja!!
 
Humu kila mtu ni boss, tajiri si mkulima. Sasa jembe analo nani?
 
Back
Top Bottom