Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/23160040Nina hitaji mchumba ambaye atakua serious na relationship ili awe mke wangu. Elimu yangu ni bachelor degree shughuli zangu nazifanyia Morogoro na Dar.
Sifa za mke awe na elimu japo form four na kuendelea, awe tayar kupima VVU am not interested na wasichana wafupi akiwa wa wastani au mrefu itapendeza zaidi.
Zaid ya yote awe tayar kufunga ndoa kanisani mwanzoni mwa mwaka kesho.
Aliye tayari asipate hofu anifuate PM. this is serious
Heri wewe umesema ......kwa kweli sie mbilikimo tulokosa nyama ndoa tutaiskia katika kipindi cha chereko TBC 1Wasichana wengi wa bongo ni wafupi
Umeshalifukuahttps://www.jamiiforums.com/index.php?posts/23160040
Wasiwasi wangu, watakuja kufukua hili kabiri.... tehteehhh
Mkuu yani sipendi sana wasichana wafupi, Mungu anisamehe katika hiloWasichana wengi wa bongo ni wafupi
Mkuu kule mambo yalibuma ndo mana nipo hapahttps://www.jamiiforums.com/index.php?posts/23160040
Wasiwasi wangu, watakuja kufukua hili kabiri.... tehteehhh
Mnisamehe bure watakuja wanao wapendaHeri wewe umesema ......kwa kweli sie mbilikimo tulokosa nyama ndoa tutaiskia katika kipindi cha chereko TBC 1
Mkuu lengo nimpate ambaye hata akikaa dukani anaweza kuhesabu shekeli.Chunguza na vyeti feki mkuu. Wengi watakuja na vyeti feki
Kule mambo yalibuma na nimejifunza mengi sana, sasa naanza hatua mpya kwa tahadhari kuuUmeshalifukua
Ndugu acha ufukunyukuhttps://www.jamiiforums.com/index.php?posts/23160040
Wasiwasi wangu, watakuja kufukua hili kabiri.... tehteehhh
Nilishaacha mkuu, natafuta mke saizNdugu acha ufukunyuku
Unanisingizia mkuu, wewe ndie umelifukua...[emoji30][emoji30][emoji30]Umeshalifukua
Nimekosea nini mkuu....!!??Ndugu acha ufukunyuku
Safi sana mkuu, huo ndio uanaume ulio tukuka.Mkuu kule mambo yalibuma ndo mana nipo hapa