Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Nina hitaji mchumba ambaye atakua serious na relationship ili awe mke wangu. Elimu yangu ni bachelor degree shughuli zangu nazifanyia Morogoro na Dar.
Sifa za mke awe na elimu japo form four na kuendelea, awe tayar kupima VVU am not interested na wasichana wafupi akiwa wa wastani au mrefu itapendeza zaidi.
Zaid ya yote awe tayar kufunga ndoa kanisani mwanzoni mwa mwaka kesho.
Aliye tayari asipate hofu anifuate PM. this is serious
Sifa za mke awe na elimu japo form four na kuendelea, awe tayar kupima VVU am not interested na wasichana wafupi akiwa wa wastani au mrefu itapendeza zaidi.
Zaid ya yote awe tayar kufunga ndoa kanisani mwanzoni mwa mwaka kesho.
Aliye tayari asipate hofu anifuate PM. this is serious