Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,769
- 16,799
Ufukunyuku sio kosaNimekosea nini mkuu....!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ufukunyuku sio kosaNimekosea nini mkuu....!!??
Mkuu mimi sijaribu nipo serious. Kuna ndoa nazifahamu kabisa zimeanzia Jf na ziko stableMkuu kwenye Uzi kama huu huwaoni. Angetangaza mwanamke hapo ungeona balaa lake.
Mi nimejaribu ila naona hakuna dalili
Mkuu, kwani humu kuna mtu aliwahi kumlazimisha apost ujinga...!!?? Na kama tumemkumbusha kile alicho kiandika, hapo kosa letu ni nini...?Ufukunyuku sio kosa
Sawa mkuuMkuu mimi sijaribu nipo serious. Kuna ndoa nazifahamu kabisa zimeanzia Jf na ziko stable
HahahaAmenipa nafasi nyingine. Nahitaji kuaminiwa kama mwanzo nifanyeje?
Wasiwasi wangu, watakuja kufukua hili kabiri.... tehteehhh
Shingo yako kwenye Avatar imefanya nikaze mkanda wa suruali vzuri.Hahaha
AiseeeAmenipa nafasi nyingine. Nahitaji kuaminiwa kama mwanzo nifanyeje? - JamiiForums
Wasiwasi wangu, watakuja kufukua hili kabiri.... tehteehhh