Natafuta marafiki wa kawaida wa jinsia zote ambao wapo ktk mkoa wa mwanza.

hellow Good Guy, huyu ni mke wa mtu. ndoa iheshimiwe na watu wote. mia
 
Last edited by a moderator:

wow That escalated quickly, you do realize i'm just being sarcastic do u!! Nothing serious dada
 
Mwanza ina JF members wengi siku hizi!
'
Ngoja nione kama tutaendelea kuwa wengi,
Viva Rock City!
 
tuko wengi, kuna mtu aliwahi kupropose kuwa tukutane na sisi wa mwz tuwe kama jf members wa dar na arusha. Eiyer, mwambie huyu anaetafuta marafiki mwz ametupata, tuko kibao.... viva rocky city
Mwanza ina JF members wengi siku hizi!
'
Ngoja nione kama tutaendelea kuwa wengi,
Viva Rock City!
 
Mwanza ina JF members wengi siku hizi!
'
Ngoja nione kama tutaendelea kuwa wengi,
Viva Rock City!
Jamani nipo jijini kama jina langu lilivyo, mimi ni HE. Hebu tutafutane na kuanzisha Mwanza (Rock City Wing).
 
Nipo jijini kama jina na avatar zinavyoonyesha. Am @ 33yrs, am I eligible to join your friendship in anyway/s ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…