MONRACE
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 272
- 640
Habari wakuu,
Naleta kwenu ombi langu. Natafuta marafiki wa kushare nao ideas kuchat nao, kuhang out; yaani kupeana company kwa kweli nmechoka kuwa mpweke. Naomba km uko ready slide my PM nikuchek. Huwez jua huko mbeleni nn kitahapen maana urafii huanza kama hivi.[emoji177][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naleta kwenu ombi langu. Natafuta marafiki wa kushare nao ideas kuchat nao, kuhang out; yaani kupeana company kwa kweli nmechoka kuwa mpweke. Naomba km uko ready slide my PM nikuchek. Huwez jua huko mbeleni nn kitahapen maana urafii huanza kama hivi.[emoji177][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app