Natafuta marafiki wafanyabiashara

Hahah na huko kwenye madini lazma tukukule tu sio kwa utamu huo aisee! Jamaa ajiandae kutumia Panado za Kenya. Mi nimeamua kubetia shamba awamu hii...wacha nikivuna tutaongea vyema mamii


😂😂😂 Hizo 'zarau '..popote pale ujinga unatokea uzuri nipo naye .amechoma meli moto..ww endelea na kilimo mkuu....
 
Me hiyo biashara naona ntashindwa asee,njoo kwenye tanzanite ukinunua tu kama ni gonga unali sort unapata jiwe lenyew mda huo huo unauza au unaweka stock na kwenda kuuza haina mbwembwe nyingi hivo.
Nna order ya magonga
Soon deal ntaiweka Sawa
Zaidi njoo pm

Ova
 


Nawazaga siku nije na uzi kuelezea ulisemalo hilo..watz ni kwikwi!
 
Nawazaga siku nije na uzi kuelezea ulisemalo hilo..watz ni kwikwi!
tafuta muda tupe kinaga ubaga..ingependeza sana kama Watz wote tungekua na sifa ya kupeana idea za biashara tunazofanya hakika tungeokoana na kutengeneza chain nzuri sana..kuna watu wana pesa ila hawajui pakuzipeleka unafkiri ukija na thread ukadadavua vizuri kila kitu Mwenye pesa zake si ndo ana invest kupitia wewe...Wanawezeshwa matajiri wakubwa sembuse sisi wenye vi.mil visivyojaa hata briefcase?

Uchoyo tu na wivu na kutojiamini kwetu....
 
Hivi kuna jinsia zaidi ya kike au ya kiume?! Ujumbe uko sawa ila sikujua maana ya kuweka jinsia, uliishasema wafanyabiashara au wapo wasio na jinsia?!
kuna LGBT au queer people. Hawa huwa hawajitambulishi kwa jinsia fulani 😀😀😀😀. Dada lazima awe specific asije akachanganya mambo
 
Wa madini ninaowajua last time walipigwa risasi wakitokea mahenge!


sasa hv kwwnye machimbo wanamshukuru sana huyu Raisi wenu wanasema zaman zilikua ni risasi...wenye ukwasi wakija wanakuja kimabav sana wanachukua eneo huku mnawaona..ss hv Kimyaaaa..hakuna cha mwenye hela au mchimbaji mdg..wotw heshima 1...nimepata hata hvyo mzee baba
 
Nakutakia mafanikio uwe bilionea.
 
We itabidi uje pm tuyajenge zaidi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…