Natafuta marafiki wafanyabiashara

Natafuta marafiki wafanyabiashara

ila inapatikana sasa kwa urahisi!?

hahaaha we unataka urahisi gani mkuu..... watu wanakesha kudrill, kusomoa, kuyaponda mawe kuwa aggregates kama ni mabichi kuyaanika.... maana maduara mengine yamefikia kwenye mwamba laini maji yanatoka.... kisha kuyapakia karashani....kuyasaga kisha kuosha powder kisha kuyazoboa kutoka kwenye karo.... kisha kuyatunza marudio kwaajili ya kwenda kuprocess.... na process nyingine nyingi.... mpaka mwisho kabisa illusion...
 
hahaaha we unataka urahisi gani mkuu..... watu wanakesha kudrill, kusomoa, kuyaponda mawe kuwa aggregates kama ni mabichi kuyaanika.... maana maduara mengine yamefikia kwenye mwamba laini maji yanatoka.... kisha kuyapakia karashani....kuyasaga kisha kuosha powder kisha kuyazoboa kutoka kwenye karo.... kisha kuyatunza marudio kwaajili ya kwenda kuprocess.... na process nyingine nyingi.... mpaka mwisho kabisa illusion...
Me hiyo biashara naona ntashindwa asee,njoo kwenye tanzanite ukinunua tu kama ni gonga unali sort unapata jiwe lenyew mda huo huo unauza au unaweka stock na kwenda kuuza haina mbwembwe nyingi hivo.
 
Me hiyo biashara naona ntashindwa asee,njoo kwenye tanzanite ukinunua tu kama ni gonga unali sort unapata jiwe lenyew mda huo huo unauza au unaweka stock na kwenda kuuza haina mbwembwe nyingi hivo.

hivi mkuu yale magonga kumbe yana thamani pia?... nilipata kuyaona ya zambarau hivi... halafu tanzanite mpaka ipatikane si watu wengine wanahustle mpaka miaka 20 hawajaona kitu..
 
habari mkuu..

nipo interested kujua zaidi kuhusu business ya madini... nasikia inalipa sana ukiwa makini na knowledge kubwa

ni mfanyabiashara mdogo namilik massage & spa studio, dry cleaners, Tshirt printing workshops, na photo & video service kwenye weddings



Usijaribu kabisa kuingia.
Utaharibu biashara zako zote.
Kuna utapeli mwingi sana kwenye hiyo biashara.
Ukizubaa kidogo tu unauziwa kipande Cha chupa kwa milioni 20.
 
Usijaribu kabisa kuingia.
Utaharibu biashara zako zote.
Kuna utapeli mwingi sana kwenye hiyo biashara.
Ukizubaa kidogo tu unauziwa kipande Cha chupa kwa milioni 20.
acha kumtisha mwenzio mkuu... si lazma anunue....na si madini yote yanafanana na chupa... la zaidi anaweza kuingia mwenyewe mzigoni akachimba bila kushurutishwa...hicho kipande atauziwa na nani?..
 
acha kumtisha mwenzio mkuu... si lazma anunue....na si madini yote yanafanana na chupa... la zaidi anaweza kuingia mwenyewe mzigoni akachimba bila kushurutishwa...hicho kipande atauziwa na nani?..
Hata hyo kuchimba usifikiri ni kazi ya lelemama kwamba unalala nyumbani na kula chipsi kuku inataka mtu wa kujitoa sana uwe kamanda kwelikweli.
 
Mimi ni mwanamke mjasiriamali.

Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).

Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!

Mimi pia niko kwenye biashara hii ya madini.

Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
We fungua Pub tu, na huo mshepu huwezi kosa wateja utauza sana ukiweka na jiko la K'moo Mwanamke mrembo na biashara ngumu kama hizo za nini?
 
We fungua Pub tu, na huo mshepu huwezi kosa wateja utauza sana ukiweka na jiko la K'moo Mwanamke mrembo na biashara ngumu kama hizo za nini?

Hahahaha...jaman.huu unyanyapaa utaisha lini...mm pub siwez bwana...msukuma yule ataniniga shingo..we njoo tuunge tela.utakuja nishukuru mwaka ujao
 
Back
Top Bottom