ila inapatikana sasa kwa urahisi!?tunafukuzia kilo mbili tatu na kuendelea.... ambayo simply ni 3000gms....sioni ubaya kuuza kilo kwa 85 milion..
Soko limeyumbaUgumu uko wapi mkuu..fafanua vzr.
ila inapatikana sasa kwa urahisi!?
tu kwakwelila inapatikana sasa kwa urahisi!?
Soko limeyumba
Asubuhi naanzia kuuzia kwa mtogole natembeza hadi vingunguti kiembe mbuzi.
ohoo sawani hela yako
tu kwakwel
Mimi nipo ibinzamata hapa ,,wewe dar mimi sikujui.
Me hiyo biashara naona ntashindwa asee,njoo kwenye tanzanite ukinunua tu kama ni gonga unali sort unapata jiwe lenyew mda huo huo unauza au unaweka stock na kwenda kuuza haina mbwembwe nyingi hivo.hahaaha we unataka urahisi gani mkuu..... watu wanakesha kudrill, kusomoa, kuyaponda mawe kuwa aggregates kama ni mabichi kuyaanika.... maana maduara mengine yamefikia kwenye mwamba laini maji yanatoka.... kisha kuyapakia karashani....kuyasaga kisha kuosha powder kisha kuyazoboa kutoka kwenye karo.... kisha kuyatunza marudio kwaajili ya kwenda kuprocess.... na process nyingine nyingi.... mpaka mwisho kabisa illusion...
Me hiyo biashara naona ntashindwa asee,njoo kwenye tanzanite ukinunua tu kama ni gonga unali sort unapata jiwe lenyew mda huo huo unauza au unaweka stock na kwenda kuuza haina mbwembwe nyingi hivo.
unatunyima nn ibinzamata mkuu
[/QUOTE
Pombe ,,njo hapa kwa Mzee Minja nipo nakunywa pombe ya kienyeji.
Ntakunulia .
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hivi kuna jinsia zaidi ya kike au ya kiume?! Ujumbe uko sawa ila sikujua maana ya kuweka jinsia, uliishasema wafanyabiashara au wapo wasio na jinsia?!
Usijaribu kabisa kuingia.habari mkuu..
nipo interested kujua zaidi kuhusu business ya madini... nasikia inalipa sana ukiwa makini na knowledge kubwa
ni mfanyabiashara mdogo namilik massage & spa studio, dry cleaners, Tshirt printing workshops, na photo & video service kwenye weddings
what you think, what we print (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
3,900 Followers, 435 Following, 555 Posts - See Instagram photos and videos from what you think, what we print (@tshirt_garage_mabibo_hostel)www.instagram.com
acha kumtisha mwenzio mkuu... si lazma anunue....na si madini yote yanafanana na chupa... la zaidi anaweza kuingia mwenyewe mzigoni akachimba bila kushurutishwa...hicho kipande atauziwa na nani?..Usijaribu kabisa kuingia.
Utaharibu biashara zako zote.
Kuna utapeli mwingi sana kwenye hiyo biashara.
Ukizubaa kidogo tu unauziwa kipande Cha chupa kwa milioni 20.
Hata hyo kuchimba usifikiri ni kazi ya lelemama kwamba unalala nyumbani na kula chipsi kuku inataka mtu wa kujitoa sana uwe kamanda kwelikweli.acha kumtisha mwenzio mkuu... si lazma anunue....na si madini yote yanafanana na chupa... la zaidi anaweza kuingia mwenyewe mzigoni akachimba bila kushurutishwa...hicho kipande atauziwa na nani?..
Kama hii ni kweli nimekupenda bure kabisa, napenda wanawake hustlersAsubuhi naanzia kuuzia kwa mtogole natembeza hadi vingunguti kiembe mbuzi.
Compared na risks zake haivutiiDuuh sio biashara ya kufanya hiyo naona
We fungua Pub tu, na huo mshepu huwezi kosa wateja utauza sana ukiweka na jiko la K'moo Mwanamke mrembo na biashara ngumu kama hizo za nini?Mimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
We fungua Pub tu, na huo mshepu huwezi kosa wateja utauza sana ukiweka na jiko la K'moo Mwanamke mrembo na biashara ngumu kama hizo za nini?