Natafuta marafiki wafanyabiashara

Natafuta marafiki wafanyabiashara

hahahahaa Kamanda wangu ww...tutaanzia makao makuu ya cdm kwanza[emoji16][emoji16]
Hebu nambie kwanza mtaji wako unafika kiasi na pia unauzoefu wa hio biashara kwa muda gani, ukiweza nishawishi tunaweza fanya joint vencha maana biashara sasa hivi zimebuma hatujui hata tuwekeze katika kitu gani ili tuendelee kusukuma hili gurudumu la dona kantri.
 
Hebu nambie kwanza mtaji wako unafika kiasi na pia unauzoefu wa hio biashara kwa muda gani, ukiweza nishawishi tunaweza fanya joint vencha maana biashara sasa hivi zimebuma hatujui hata tuwekeze katika kitu gani ili tuendelee kusukuma hili gurudumu la dona kantri.
Hahahaha, nasubiri jibu , mie km mna buyer wa uhakika, kn kijana anaweza kuleta mzigo huko huko mliko, mkapima wenyewe kisha mnampa chake anarudi
 
Kuna kila dalili ya kutapeliana humu.
Mimi ni mwanamke mjasiriamali.

Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).

Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!

Mimi pia niko kwenye biashara hii
ya madini.

Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
 
Hebu nambie kwanza mtaji wako unafika kiasi na pia unauzoefu wa hio biashara kwa muda gani, ukiweza nishawishi tunaweza fanya joint vencha maana biashara sasa hivi zimebuma hatujui hata tuwekeze katika kitu gani ili tuendelee kusukuma hili gurudumu la dona kantri.


Hahaha mm hoja yangy ni kupata netwek zaidi...so mm km mm nimejitosheleza..just netwek mkuu
 
Back
Top Bottom