badilisha basi hiyo HILA iwe ILA.........
karibu sana kirua vunjo...
Asante, sawa nabadilisha kiswahili nacho huwa kinanipiga chenga kwenye mambo fulani.
oooh tate nane......basi niambie unatumia lugha gani kwa sana ili isikusumbue........
Natumia kingeleza, kiswahili na kifaransa kidogo sababu najifunza kifaransa. Ila kwenye kingeleza huwa sipati hayo matatizo kama navyopata kwenye kiswahili.
Kashesho umeadimika
sasa mwenzangu.....mimi nipo Yaeda.....huku kingereza kinatusababisha tupate matatizo ya uzazi.......utanisaidiaje hapo......? na ninahitaji kuwa rafiki yako......?