linah smile
Member
- Apr 4, 2017
- 84
- 57
Natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo,jinsia zote tu ilimradi uwe na mawazo chanya ,uwe mchapakazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchapakazi ni mtu anaejishughulisha kwa kitu chochote tu ni rahisi kushauriana kupeana mawazo lakini kama hajishughulishi kwa chochote mawazo yanakuwa ya kivivu vivu tuUchapakazi unahusiana vipi na urafiki?
Kama sio mchapakazi lakini najitegemea wewe unaathirika nini?
Ahsante mumyUnakaribishwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachapakazi na wenye mawazo chanya mnaitwa huku jamani... sisi wavivu ngoja tupite
Kwakua unamawazo chanya karibu sanaMe sio mchapa kazi ila nna mawazo chanya vipi nakaribishwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe ivo si viatu nia yako ulikua uone niniDar ni noma sana! Sasa huyu ni mwanaume au ni mwanamke?[emoji116] View attachment 1388568
Natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo,jinsia zote tu ilimradi uwe na mawazo chanya ,uwe mchapakazi
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nimetimiza vyote hivyo na kuzidi, kwa hio automatic nisha kuwa yafiki yako sio?
[emoji23][emoji23][emoji23] AlaaNahitaji maadui. Wawe wavivu na wenye mawazo hasi. Nitawanyoosha mpaka watafurahi.