Tutatengeneza group litaitwa dadaz, sisters of the dark, jf queens au sipangwingwi😂😂Asante kwa kunichagua cute,yeah....inawezekana.Let's be friend kuanzia muda huu😍😘
Jf dadaz snippers.... Hatukoseagi kulengaTutatengeneza group litaitwa dadaz, sisters of the dark, jf queens au sipangwingwi😂😂
Yani hili jina linanitatiza. Hatukosei kulenga ndondochas au vichwa mushroom 😂😂😂nataniaJf dadaz snippers.... Hatukoseagi kulenga
Ha ha ha,yaan full mixturesYani hili jina linanitatiza. Hatukosei kulenga ndondochas au vichwa mushroom 😂😂😂natania
Haya group likitengenezwa tafadhali tupasiane link ccy🥰🥰
😂😂ThawaHa ha ha,yaan full mixtures
Ina maana hauna marafk wa kubadlshana mawazo kwa sas?Mimi natafuta marafiki wakubadilishana mawazo.
Sifa awe anajielewa mtaratibu na mwenye heshima .
Sichagui jinsia hata wote tu .
Hao ndondocha na vichwa mash room ndio kina nani mkuu.Yani hili jina linanitatiza. Hatukosei kulenga ndondochas au vichwa mushroom 😂😂😂natania
Haya group likitengenezwa tafadhali tupasiane link ccy🥰🥰
Weeee usiniambieJf dadaz snippers.... Hatukoseagi kulenga
🤷🤷🤷🤷Hao ndondocha na vichwa mash room ndio kina nani mkuu.
Swali la muhimu sana hili, nakazia.. atleast mnarandana na hiyo picha? 😁Hiyo picha ya profile ni wewe au mnaendana na kurandana?