Natafuta marafiki

Natafuta marafiki

Kama kweli unatafuta rafiki wa kubadilishana mawazo na siyo kuombana hela nipe namba yako, kwa sasa sina rafiki marafiki zangu wote wameacha kunisalimia kwasababu wakiniomba hela nawajibu sina nikikupata wewe itakua poa sana
 
Yani hili jina linanitatiza. Hatukosei kulenga ndondochas au vichwa mushroom 😂😂😂natania
Haya group likitengenezwa tafadhali tupasiane link ccy🥰🥰
Hao ndondocha na vichwa mash room ndio kina nani mkuu.
 
Hatunaga urafiki sisi Ni kumendea tu
FB_IMG_16696585783767231.jpg
 
hao marafiki mnakutania wapi mawazo changing ifanyike?
mimi ni mwandishi wa habari, na camera man msuri sana, naomba kazi..
 
Back
Top Bottom