We kolo tulia, nishaanza kuchat nae..Njoo pm best mwaaaah
Mkuu huwezi kujibiwa ikiwa mimi nimejibiwa kabla yako ππ
Dah competition haipo fair.Mkuu huwezi kujibiwa ikiwa mimi nimejibiwa kabla yako ππ
Sie la nne failure tushakosa rafiki asee!
Komenti ya juu yako tu ina-prove ulichoandika ni uongoKwenye huu uzi kila mtu mwanachuo, hii ndio jf π
Karibu pmππ¨Habari
natafuta marafiki wakubadirishana mawazo especially wanachuo lengo nikubadirishana mawazo
Ipi hiyoKomenti ya juu yako tu ina-prove ulichoandika ni uongo
Naomba naomba za Sociology of criminologyNoma kilo 2 na Nusu
Jinsia yako imekaaje kwanza? Ninazo notes mpaka za Criminology na Penology