Habari zenu wanaJF
Nimekua nikipita JF kama Guest kwa muda sasa,nimefarijika na jinsi watu wanavyosaidiana kwa mawazo na ushauri. Mi ni kijana wa kiume( below 30), elimu yangu ni chuo. Natafuta marafiki wa umri kuanzia miaka 20(sitaki watoto) kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kupeana ushauri mbalimbali wa maisha kwakuwa napitia kipindi kigumu kidogo na I feel lonely sana. Anayehitaji kampani kama mimi niPM
Nimekua nikipita JF kama Guest kwa muda sasa,nimefarijika na jinsi watu wanavyosaidiana kwa mawazo na ushauri. Mi ni kijana wa kiume( below 30), elimu yangu ni chuo. Natafuta marafiki wa umri kuanzia miaka 20(sitaki watoto) kwa ajili ya kubadilishana mawazo na kupeana ushauri mbalimbali wa maisha kwakuwa napitia kipindi kigumu kidogo na I feel lonely sana. Anayehitaji kampani kama mimi niPM