Gagurito JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 5,600 Reaction score 806 Aug 9, 2014 #1 alijitambulisha kwa jina la joseph, yeye anahusika na mbegu za vitunguu pamoja na kilimo chake bagamoyo na mikoan. Naombeni namba zake zinazopatikana ile 0655003510 haipatikani.
alijitambulisha kwa jina la joseph, yeye anahusika na mbegu za vitunguu pamoja na kilimo chake bagamoyo na mikoan. Naombeni namba zake zinazopatikana ile 0655003510 haipatikani.
selestei JF-Expert Member Joined May 10, 2014 Posts 243 Reaction score 60 Aug 9, 2014 #2 Hata mimi nimepiga sana hiyo number haipatikani au jamaa alikosea number
Gagurito JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 5,600 Reaction score 806 Aug 9, 2014 Thread starter #3 selestei said: Hata mimi nimepiga sana hiyo number haipatikani au jamaa alikosea number Click to expand... Hata sijui tatizo aisee. Tuvute subira!
selestei said: Hata mimi nimepiga sana hiyo number haipatikani au jamaa alikosea number Click to expand... Hata sijui tatizo aisee. Tuvute subira!
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 Aug 9, 2014 #4 Kuna number ya airtel anatumia, siwezi kukupa kwasababu hajaniruhusu. Unaweza kumPM Sahivi yupo nje ya dar, nadhani ndo muda wa mavuno huu
Kuna number ya airtel anatumia, siwezi kukupa kwasababu hajaniruhusu. Unaweza kumPM Sahivi yupo nje ya dar, nadhani ndo muda wa mavuno huu
I Ivon Joseph Member Joined Aug 5, 2014 Posts 6 Reaction score 0 Aug 9, 2014 #5 Hata mm namtafuta jaman..
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Aug 9, 2014 #6 Bulldog said: Kuna number ya airtel anatumia, siwezi kukupa kwasababu hajaniruhusu. Unaweza kumPM Sahivi yupo nje ya dar, nadhani ndo muda wa mavuno huu Click to expand... Yule ni mfanyabiashara, sidhani kama atachukia kwa namba yake iliyoko hewani kutolewa hadharani. Unless useme labda unataka ubembelezwe!!
Bulldog said: Kuna number ya airtel anatumia, siwezi kukupa kwasababu hajaniruhusu. Unaweza kumPM Sahivi yupo nje ya dar, nadhani ndo muda wa mavuno huu Click to expand... Yule ni mfanyabiashara, sidhani kama atachukia kwa namba yake iliyoko hewani kutolewa hadharani. Unless useme labda unataka ubembelezwe!!
Gagurito JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 5,600 Reaction score 806 Aug 10, 2014 Thread starter #7 Shark said: Yule ni mfanyabiashara, sidhani kama atachukia kwa namba yake iliyoko hewani kutolewa hadharani. Unless useme labda unataka ubembelezwe!! Click to expand... Hahahaha! Makavu sio?
Shark said: Yule ni mfanyabiashara, sidhani kama atachukia kwa namba yake iliyoko hewani kutolewa hadharani. Unless useme labda unataka ubembelezwe!! Click to expand... Hahahaha! Makavu sio?