Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Niliwaandikia email (sales@aluminiumafrica.com) hawa jamaa siku ya Ijumaa, 18 Januari 2013 nikitaka kujua bei ya Mabati ya "IT Maxcover" Gauge 28, kwa Mita moja ni kiasi gani? Lakini hadi leo hii hawajanijibu hiyo email yangu. Jana mida ya saa 8 mchana nikapiga simu Ofisini kwao namba: +255 22 286 330 6 ambayo iliita tu kwa muda mrefu bila kupolewa.
Mawasiliano yote haya niliyapata kupitia Website yao:
WELCOME TO ALUMINIUM AFRICA LIMITED WEBSITE (Company Directory)
Kwa anayejua tafadhali anisaidie niweze kujua bei ya mabati hayo kwasasa ni kiasi gani? na Kama hao ALAF wanayo brach pale Dodoma!!
Mawasiliano yote haya niliyapata kupitia Website yao:
WELCOME TO ALUMINIUM AFRICA LIMITED WEBSITE (Company Directory)
Kwa anayejua tafadhali anisaidie niweze kujua bei ya mabati hayo kwasasa ni kiasi gani? na Kama hao ALAF wanayo brach pale Dodoma!!