American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Wasiliana na watu wa Tanga unataka ya ukubwa gani?Habari Wapendwa, Kama Kichwa Kisemavyo natafuta Mawe ya (quartz) Yasiwe Meusi au Uchafu wowote ndani yake, Yang'ae kabisa (Pure Stone). Yawe kuanzia Manne. kama unayo ni pm nipo dar
Kama haya ila haya ni pinkungeweka picha pengine mtu anayo ila jina hajui.
Weka namba yako ya simu watu watakupigiaHabari Wapendwa, Kama Kichwa Kisemavyo natafuta Mawe ya (quartz) Yasiwe Meusi au Uchafu wowote ndani yake, Yang'ae kabisa (Pure Stone). Yawe kuanzia Manne. kama unayo ni pm nipo dar
Shukrani bro, unaona sasa kwa mama lipo moja sijui alilipata wapi ila lipo lipo tu.Kama haya ila haya ni pinkView attachment 804128
Ni kama haya mzeeungeweka picha pengine mtu anayo ila jina hajui.
Ningepata yenye uzito wa kuanzia Nusu kilo ingekuwa safiWasiliana na watu wa Tanga unataka ya ukubwa gani?
Kama kuna mtu anayo anaweza kuniPMWeka namba yako ya simu watu watakupigia
Unamaanisha mwambaao wa ziwa nyasa?Nenda Nyasa kuanzia Lituhi yapo mengi saaana.
Ndio. Wilaya ya Nyasa. Yapo mengi saaana. Haswa Lituhi, Mbaha, Lundu. Vyote hivyo ni vijiji.Unamaanisha mwambaao wa ziwa nyasa?