juniour12 JF-Expert Member Joined Sep 18, 2013 Posts 407 Reaction score 375 Aug 7, 2015 #1 Wanajamvi natafuta mayai ya kuku wa kisasa kwa ajili ya kuuza maana nina fremu yangu ya mayai lakini mzigo napata kwa kusuasua....Mwenye nayo naomba anipe bei nzuri na uwezo wake kunisupply atleast tray 20 kwa siku....Napatikana Dar....Asanteni sana
Wanajamvi natafuta mayai ya kuku wa kisasa kwa ajili ya kuuza maana nina fremu yangu ya mayai lakini mzigo napata kwa kusuasua....Mwenye nayo naomba anipe bei nzuri na uwezo wake kunisupply atleast tray 20 kwa siku....Napatikana Dar....Asanteni sana
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,221 Reaction score 22,496 Aug 8, 2015 #3 Naomba tuwasiliane kwa namba 0718151415 me nina sehemu za uhakika