mkuu kuna njoo banana kama unaelekea magereza sehemu ya Aviation house kuna jamaa wanauza miche ya miti na maua .pia wanauza miche ya minanasi .bei zao zuri sana mkuu jaribu kuwaona mkuu
Njopekafarm tunauza miche ya minanasi tupo mkuranga pwani pia tuna andaa shamba kwa ajili ya kupanda na kukupandia kabisa lakini pia tunakupa muongozo wa kulihudumia shamba la mananasi mpaka uvune piga simu au whatsapp +255625977427
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.