Natafuta mchuma awe mke

Natafuta mchuma awe mke

Masokwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2019
Posts
454
Reaction score
682
Hello wadau. Husika na Habari hapo juu

Natafuta mwanamke anayejielewa
-Awe angalau Maji ya kunde au mweupe WA asili no mkorogo
-Mrefu kiasi tuu, asiwe mfupi sana, maana mimi ni mrefu kiasi
-Akiwa na mwili kiasi na shape ya kike itakuwa vyema sana
-Akiwa muislam itapendeza ila dini yoyote Sawa tuu


Umri wangu miaka 31,
Elimu : bachelor degree
Kazi : Mjasiriamali
Njooo inbox tuyajenge
 
Hello wadau. Husika na Habari hapo juu

Natafuta mwanamke anayejielewa
-Awe angalau Maji ya kunde au mweupe WA asili no mkorogo
-Mrefu kiasi tuu, asiwe mfupi sana, maana mimi ni mrefu kiasi
-Akiwa na mwili kiasi na shape ya kike itakuwa vyema sana
-Akiwa muislam itapendeza ila dini yoyote Sawa tuu


Umri wangu miaka 31,
Njooo inbox tuyajenge
ELIMU YAKO,KAZI YAKO UNAISHI MKOA GANI
 
Back
Top Bottom