Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 31 nina elimu ya chuo kikuu na ninafanya kazi pia ni mjasiriamali.
sifa za mwanaume ninayemtaka awe mrefu wa wastani, mkristo, mcha Mungu, Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea awe ameajiriwa au kujiajiri. umri miaka 30-40 sifa ya ziada awe anapatikana eneo la mikoa ya Kilimanjaro, Arusha au Manyara kwa kuwa nami napatikana moja ya mikoa hiyo niko serious kama haupo serious usini PM. aliye tayari anicheck kwenye email donydammy@gmail.com asanteni wana JM.
sifa za mwanaume ninayemtaka awe mrefu wa wastani, mkristo, mcha Mungu, Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea awe ameajiriwa au kujiajiri. umri miaka 30-40 sifa ya ziada awe anapatikana eneo la mikoa ya Kilimanjaro, Arusha au Manyara kwa kuwa nami napatikana moja ya mikoa hiyo niko serious kama haupo serious usini PM. aliye tayari anicheck kwenye email donydammy@gmail.com asanteni wana JM.