kila la kheri na MUNGU awatangulieKama ni kusudi la Mungu kunikutanisha na wewe tutakua mke na mume siku moja. Kwa ufupi mimi ni mwanaume wa miaka 35, nimeokoka na nampenda Yesu. Nimekulia kwenye familia ya Waliokoka na baba yangu ni Mchungaji. Nina Elimu ya juu , naishi Arusha na nimeajiriwa huku Arusha. Kwa ufupi naomba uni Pm tufahamiane zaidi.
Kama ni kusudi la Mungu kunikutanisha na wewe tutakua mke na mume siku moja. Kwa ufupi mimi ni mwanaume wa miaka 35, nimeokoka na nampenda Yesu. Nimekulia kwenye familia ya Waliokoka na baba yangu ni Mchungaji. Nina Elimu ya juu , naishi Arusha na nimeajiriwa huku Arusha. Kwa ufupi naomba uni Pm tufahamiane zaidi.
Church is the best place..... Hapa the Jeif... Na mmmmhMimi ni msichana wa miaka 27, mwajiriwa selikalini naishi Mbeya. Elimu yangu ni shahada ya kwanza. Nimeokoka. Mimi naamini mume au mke mwema anatoka kwa bwana but unaweza kukutana nae popote. Nami nahitaji mwanaume aliyeokoka. Umri kuanzia Miaka 28 elimu kuanzia form four kabila lolote. Awe nakKazi halal ya kumuingizia kipato.
Karibu pm.
angekuwa hajaokoka asingetafuta mtu aliyeokoka mkuuWe umeokoka?
Mimi ni msichana wa miaka 27, mwajiriwa selikalini naishi Mbeya. Elimu yangu ni shahada ya kwanza. Nimeokoka. Mimi naamini mume au mke mwema anatoka kwa bwana but unaweza kukutana nae popote. Nami nahitaji mwanaume aliyeokoka. Umri kuanzia Miaka 28 elimu kuanzia form four kabila lolote. Awe nakKazi halal ya kumuingizia kipato.
Karibu pm.