Natafuta mchumba ambae baadae atakuwa mke.

Natafuta mchumba ambae baadae atakuwa mke.

Johnson Peter

New Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
3
Reaction score
1
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25

Nimeajiriwa kwenye taasisi fulani hapa Dar es salaam.

Elimu yangu ni Diploma of Education.

Mi ni mrefu, mweusi. (hapa najua kuna girl hatanizingatia maana baadhi yao hawapendi wanaume weusi).

Kiukweli nimechoshwa na upweke na natafuta mchumba ambae hatimae atakuwa mke.

Sio kwamba huku mitaani na kazini hakuna wanawake ila sasa hakuna mwenye vigezo navovitaka.

Msichana nnaemtaka awe na sifa zifuatazo.

Asiwe mfupi sana au mnene sana.

Awe na elimu angalau ya form four.

Awe na shughuli yoyote halali ya kumuingizia kipato.

Asiwe mlevi

Awe mtu mwenye tabia njema angalau hana sifa mbaya au skendo za ajabu.

Awe na umri kati ya 20 mpaka 25. Kama ni 26 au 27 ntakufikiria, (ila sijui ndoa na alienizidi umri itakuwaje).

Sura sio lazima iwe nzuri ila iwe ya kawaida, isiwe mbaya.

Kama uko serious njoo PM tuyajenge.
 
Sura mbaya ni sura ya aina gan maana madad zetu huwa hawajiamin na zura zao
 
Hebu nambie kwanini unasema hivyo?
Sura isiwe nzuri,iwe ya kawaida na isiwe mbaya,,,maneno hayo yanakuonesha kuwa ww ni MTU wa aina gan na uelewa wa aina gan,ww umekuja kutafta mchumba maneno meng ya nani??? Na kuna sehem umeandika kuwa ww ni mweusi na kwenye mabano akaweka maneno yako,,ungeandika mim ni mweus ingetosha tu na sio wanawake wote wanapenda watu weus
 
Hahahahahaaa daaaah.......sicheki uzi wako mkuu,,,,,,lkn kinachonichekesha ni kwamba....

Dk tatu zilizopita nimetoka kukamilisha kuandika uzi kama huu hapa jamvini ilibaki kubonyeza alama ya "post" tu...

Nikajikuta naufuta wote na kutulia zangu.....hawa wadada shida yao wanataka wao wakitaka kuolewa sisi tuchangamke lkn sisi tukiwa tunafikia maamuzi ya kuoa sasa tutulie,,,,tunaleta nyuzi humu ndani wanakua wanajivuuuuuuuuuuuutaaaaa yn kama wamekunywa balimi za harusini......

Nilipomaliza kuwaza hilo nikafuta uzi wangu wote nikatulia zangu nikiamini hata nsipopata kutoka jf bs ntapata hata bar....mradi akidhi vigezo na masharti.

By the way....nakutakia kila lakheri
 
Hahahahahaaa daaaah.......sicheki uzi wako mkuu,,,,,,lkn kinachonichekesha ni kwamba....

Dk tatu zilizopita nimetoka kukamilisha kuandika uzi kama huu hapa jamvini ilibaki kubonyeza alama ya "post" tu...

Nikajikuta naufuta wote na kutulia zangu.....hawa wadada shida yao wanataka wao wakitaka kuolewa sisi tuchangamke lkn sisi tukiwa tunafikia maamuzi ya kuoa sasa tutulie,,,,tunaleta nyuzi humu ndani wanakua wanajivuuuuuuuuuuuutaaaaa yn kama wamekunywa balimi za harusini......

Nilipomaliza kuwaza hilo nikafuta uzi wangu wote nikatulia zangu nikiamini hata nsipopata kutoka jf bs ntapata hata bar....mradi akidhi vigezo na masharti.

By the way....nakutakia kila lakheri

Asante kwa kunitakia heri ndugu.
 
Back
Top Bottom