DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Naomba miwani nione vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba miwani nione vizuri
Mjeda huyo anatafuta mwenza,waache wajipeleke TuMe nimetamani tu kujua kwanini mwanajeshi..!? Naweza jibebea point 3 muhimu hapa..!
CONTROLA eni aidia hia mdogo wangu!!?
Haha hatari sanaid mpya zinasaidia sana maana akitumia ya zamani unaweza kukuta ana thread yake huku akielezea jinsi ndoa yake ilivyo na furaha na mafanikio lukuki.
Usingekua mjeda ungekua wangu tatizo unaonekana kua ni mjedaMimi ni mwanamke, Natafuta mchumba ambaye tutaweza kuanzisha familia pamoja,
Baadhi ya sifa zangu
1.Mimi ni mwanamke wa kawaida tu,
2.Nimeajiriwa
3.sina mtoto wala sijawai kuolewa
4.30yrs
5.Elimu chuo
6. Dini Mkristo
Mengine tutaelezana PM.
Sifa za mwanaume nimtakaye
1. Awe ameajiriwa au kujiajiri katka sekta yoyote ile but akiwa mwanajeshi itakuwa vizuri zaidi
2.Awe na Elimu kuanzia form4
3.Awe na miaka kat ya 31_36
4.Dini awe mkristo
5.kabila lolote lile.
N.B nitafurahi sana kama nitapata hitaji LA moyo wangu, nitakupenda daima.
Karibuni Pm but kwa aliyeserious kabsa
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Usingekua mjeda ungekua wangu tatizo unaonekana kua ni mjedaMimi ni mwanamke, Natafuta mchumba ambaye tutaweza kuanzisha familia pamoja,
Baadhi ya sifa zangu
1.Mimi ni mwanamke wa kawaida tu,
2.Nimeajiriwa
3.sina mtoto wala sijawai kuolewa
4.30yrs
5.Elimu chuo
6. Dini Mkristo
Mengine tutaelezana PM.
Sifa za mwanaume nimtakaye
1. Awe ameajiriwa au kujiajiri katka sekta yoyote ile but akiwa mwanajeshi itakuwa vizuri zaidi
2.Awe na Elimu kuanzia form4
3.Awe na miaka kat ya 31_36
4.Dini awe mkristo
5.kabila lolote lile.
N.B nitafurahi sana kama nitapata hitaji LA moyo wangu, nitakupenda daima.
Karibuni Pm but kwa aliyeserious kabsa
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
papuchi ndio nini??dah!? hatari hii, wameshakubutua huko, titi limekua ndala, tako limejipiga mtepesho, papuchi imedoda. ndo unatafuta mtu humu wa kumbebesha!?.. naweza kukuunganisha na mwanajeshi(liutenant) anataka mtoto , vipi una kizazi!? na sura je!? ili usijemharibia watoto, mengine mtamalizana maana hvo ndo vigezo vyake.
Na wajeda wakike hamna uko wenye kutaka mume ?dah!? hatari hii, wameshakubutua huko, titi limekua ndala, tako limejipiga mtepesho, papuchi imedoda. ndo unatafuta mtu humu wa kumbebesha!?.. naweza kukuunganisha na mwanajeshi(liutenant) anataka mtoto , vipi una kizazi!? na sura je!? ili usijemharibia watoto, mengine mtamalizana maana hvo ndo vigezo vyake.
teh teh mkuu, papuchi ni kile kikojoleo cha mwanamke unachokihangaikia kukipata au kumuhudumia ukipate.
aiseee hilo sifaham mkuuNa wajeda wakike hamna uko wenye kutaka mume ?
Nitafutie...
Umuendeshe😄😆Kuna ulazima gani mwanamme awe amekuzidi umri kwenye mahusiano?