natafuta mchumba anajielewa

natafuta mchumba anajielewa

hata kama ningekua na vigezo hivyo nisingekua tayali kwani kwa masharti hayo inaonyesha jinsi gani unavyo taka kuwa tegemezi! we vigezo buku!mfano wa mtu uliejifananisha nae ni wa kawaida sana hivi hata wazazi wako wangekua waliwekeana vigezo hivyo wewe ungekuwepo!ungesema wewe unakunya keki hapo ingekua sawa! acha ulimbukekeni mapenzi hayana muonekano kwamba yanakuja hivi,huu ni ubabaishaji kama wa ccm....!
 
hata kama ningekua na vigezo hivyo nisingekua tayali kwani kwa masharti hayo inaonyesha jinsi gani unavyo taka kuwa tegemezi! we vigezo buku!mfano wa mtu uliejifananisha nae ni wa kawaida sana hivi hata wazazi wako wangekua waliwekeana vigezo hivyo wewe ungekuwepo!ungesema wewe unakunya keki hapo ingekua sawa! acha ulimbukekeni mapenzi hayana muonekano kwamba yanakuja hivi,huu ni ubabaishaji kama wa ccm....!

kigezo kipi kinaonyesha nataka kuwa tegemezi, mbona flavii ni wakawaida jamani..tena kuliko hata mimi.
 
Mwanaume mwenye kujitambua hawezi kuoa mwanamke wa dizain yako manake tayari unaonekana una matatizo ndio maana hujaolewa na sasa uko desperate unaamua kuja kutafuta mwanaume.

Nguruwe pitaaaaaa, sina mkuki mieee!
 
mimi ni msichana, natafuta mpenzi wa kweli, sitaki longolongo, awe amesoma anahold degree au masters, awe mweusi kidogo, mtanashati, awe anapenda mpira wa miguu kucheza asiwe na kitambi, awe alisoma masomo ya science sekondary.awe uptodate..asiwe mshamba mshamba, ajue kupenda kwa dhati. Awe na umri wa miaka 28 hadi 35.mimi kwa muonekano nipo kama flaviana matata. Nimesoma chuo kikuu. Nafanya kazi binafsi. Ni PM kama upo serious.
Nadhani umejiandaa kwa ajili ya uvumbuzi
 
Back
Top Bottom